Wednesday, 24 May 2017

Nape amposti Rais Magufuli na kuandika Ujumbe huu


Mbunge wa Mtama mapema leo hii baada ya Rais John Magufuli kumfuta kazi Waziri wa Nishati na Madini Professa Sospita Muhongo kutokana na wizara yake kutowajibika na kashafa ya Makontena ya Mchanga wa w Dhahabu.
Rais Magufuli amepokea taarifa ya awali  ya uchunguzi wa Kontena za mchanga wa Dhahabu.
Nape Mnauye amemsifu kitendo cha Rais 
Magufuli kuwawajibishwa watendaji wa serikali na kumpongeza kwa kitendo hicho

Related Posts:

  • Wanajeshi wakichoma moto kituo cha polisi NigeriaHaki miliki ya pichaNIGERIAN POLICEImage captionKituo cha polisi kilichochomwa moto Nigeria Ripoti kutoka nchini Nigeria zinasema Maafisa wa jeshi la Wanamaji wamevamia na kuchoma moto kituo cha polisi mjini Calabar kusini mw… Read More
  • Jeshi la Polisi Tanzania, latoa onyoImage captionMkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Simon Sirro Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa onyo kwa wale wote wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu na kusababisha mauaji ya raia na polisi. Akizungumza kwa mara ya kwan… Read More
  • Reli mpya ya kisasa SGR yazinduliwa KenyaImage captionReli mpya ya SGR yazinduliwa Kenya Kenya imezindua reli mpya kati ya mji wa Mombasa hadi Nairobi ikiwa ni miezi 18 mapema. Reli hiyo iliotengezwa kupitia ufadhili wa shilingi bilioni 3.2 kutoka serikali ya China… Read More
  • Viongozi wa Afrika wamlaumu Trump kuupuza mkataba wa ParisImage captionRais wa zamani wa Ghana John Mahama (pichani) alikuwa ni miongoni mwa viongozi wa dunia waliounga mkono makubaliano hayo ya kihistoria juu ya mazingira mjini Paris 2015 Rais wa zamani wa Ghana John Mahama amelaan… Read More
  • Simba yapania Kumsajili Aishi Manula na kumtema Agyei SIMBA inataka kumuacha kipa Mghana, Daniel Agyei ili imsajili kipa wa Azam FC, Aishi Manula.Na hiyo ni kufuatia habari za Aishi kutokubaliana na Azam kuongeza mkataba, baada ya kumalizika kwa mkataba wake wa sasa mwezi ujao… Read More

2 comments:

  1. Iko poa endelea kutuhabarisha. Lakini ukitata blog yako uanze lipwa usisite wasiliana nami.

    ReplyDelete
  2. Iko poa endelea kutuhabarisha. Lakini ukitata blog yako uanze lipwa usisite wasiliana nami.

    ReplyDelete