Sunday, 4 June 2017

HATIMAYE: Anna Mghwira kujiunga na CCM

Baada ya uteuzi wa Rais Magufuli, Kwamujibu wa Wachambuzi wa masuala ya kisiasa, Mkuu wa mkoa ni lazima awe kada wa chama cha mapinduzi na atakuwa pia mwenyekiti wa kamati ya siasa ya mkoa na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa yenye kazi ya msingi ya kulinda 'usalama wa CCM'

Isome hapo chini Tarifa ya Uteuzi 

Related Posts:

  • Trump asababisha Al Jazeera kufungiwa Saudi Arabia Saudi Arabia imeifungia mitandao ya Al Jazeera na Magazeti ya Qatar baada ya Rais wa Qatar Tamim Bin Hamad Al-Thani kusema anaishangaa Saudi Arabia kumkaribisha Rais wa Marekani Donald Trump kauli iliyopingwa na Mfalme wa … Read More
  • Ratiba ya Sportpesa Super Cup Sport Pesa Cup 5/6 Singida united Vs FC leopardYanga Vs Tusker fc6/5 Simba Vs Nakuru All StarJang`ombe boys vs Gor mahiaNusu fainali tarehe 8Bingwa wa mechi kati ya Singida united vs AFC leopard atacheza na bingwa kati ya… Read More
  • "Manji anatikisa kibiriti" Katibu wa baraza la wazee wa Yanga Mzee Ibrahim Akilimali amesema, huenda kujiuzulu kwa mwenyekiti wa klabu hiyo Yusuf Manji ni kutikisa kibiriti tu lakini atarejea tena kwenye nafasi yake kwa sababu tayari alishawahi kuta… Read More
  • Kutana na Msikiti unaojengwa ila mafundi hawaonekani Uliwahi kusikia jengo linalojengwa kwa muda mrefu zaidi na mafundi hawaonekani, iwe usiku au mchana jengo linazidi kupanda juu, pia ata magari ya kubeba kokoto, mchanga hata matofari yasionekane...!!! Hii ni mpya kutok… Read More
  • Professa Muhongo amemuibua Kafulila Alikuwa Mbunge Kigoma Kusuni,  David Kafulila ameibuka na kutoa kauli yake maamuzi yaliyofanywa na Rais Magufuli baada ya kupokea ripoti ya Kamati Maalum kuhusiana na uchunguzi wa makontena 272 ya makinikia yaliyokuwa … Read More

0 comments:

Post a Comment