Friday, 2 June 2017
Home »
» Lissu aeleza A-Z Jinsi Tulivyopigwa na Tutakavyoendelea Kupigwa Kwenye Sekta ya Madini
Lissu aeleza A-Z Jinsi Tulivyopigwa na Tutakavyoendelea Kupigwa Kwenye Sekta ya Madini
Mnadhimu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu akizungumza na Muungwana Tv amesema kuwa Sakata la Mchanga wa Dhahabu lina tokana na ubovu wa sheria zetu pamoja na kubanwa na mikataba ya kimataifa.
Lissu ambaye ni Rais wa Chama cha Wanasheria TLS amesema kuwa hali hii ya kuibiwa madini yetu, tazama video kwa kubonyeza link hapa nchini.
>>>>>>>>>https://youtu.be/LS-q2zZWwec
source:muungwana
Related Posts:
Ivo Mapumba azibebesha lawama Simba na Yanga Aliyekuwa golikipa wa vilabu mbalimbali vikubwa Afrika Mashariki ikiwemo Simba, Yanga, Azam, Gor Mahia na Taifa Stars, Ivo Mapunda amevilaumu vilabu vya Simba na Yanga kwa kudharau na kutokuona umuhimu wa michuano ya SportP… Read More
Gari lenye kasi zaidi duniani latarajiwa kufanyiwa majaribio OktobaHaki miliki ya pichaBLOODHOUND SSCImage captionMradi wa Bloodhound mara ya kwanza ulitangazwa mwaka 2008 Gari lenye mwendo wa kasi zaidi duniani litakimbia kwa mara ya kwanza kabisa tarehe 26 mwezi Oktoba, Gari litakimbia kw… Read More
ACACIA waelezea usajili wao KAMPUNI ya uchimbaji madini ya Acacia, imesema kuwa inafanya kazi nchini kwa misingi ya sheria na Mamlaka ya Soko la Mitaji na Dhamana (CMSA) inatambua uwepo wake.Kauli hiyo imekuja baada ya juzi taarifa ya pili ya wachumi … Read More
Aliyekuwa gavana wa Rio de Janeiro afungwa miaka 14 kwa ufisadiHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionSergio Cabral alihudumu mihula miwili kama gavana wa Rio kuanzia mwaka 2007 hadi 2014. Aliyekuwa gavana wa jimbo la Rio de Janeiro nchini Brazil, amehukumiwa kifungo cha miaka 14 g… Read More
Wanaotetea Acacia wachapwe viboko: Mwenyekiti CCM Bendera ya CCM MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Samwel Kiboye amesema Watanzania wote walioshirikiana na kampuni za uchimbaji wa madini ya Acacia, kufanikisha utoroshaji wa madin… Read More
0 comments:
Post a Comment