Mbunge John Mnyika atolewa nje ya Bunge kwa amri ya Spika Job Ndugai na kuamriwa kutohudhuria vikao kwa siku 7 baada ya kutokea malumbano leo.
Kufuatilia tukio hilo Wabunge wa Upinzani wametoka nje baada ya Mbunge huyo kutolewa nje na Askari wa Bunge kwa amri ya Spika.
Vilevile, Mamlaka ya Bunge kupitia Kamati ya Maadili kumjadili Mbunge Esther Bulaya kwa kuhamasisha wabunge kutoka nje ukumbi wa Bunge
Friday, 2 June 2017
Home »
» Wabunge wa Upinzani Wasusia Bunge na Kutoka Nje
Wabunge wa Upinzani Wasusia Bunge na Kutoka Nje
Related Posts:
Wabunge wa Upinzani Wasusia Bunge na Kutoka Nje Mbunge John Mnyika atolewa nje ya Bunge kwa amri ya Spika Job Ndugai na kuamriwa kutohudhuria vikao kwa siku 7 baada ya kutokea malumbano leo.Kufuatilia tukio hilo Wabunge wa Upinzani wametoka nje baada ya Mbunge huyo kutol… Read More
Azam wafunguka Ishu ya Aishi Manula kusaini Simba Afisa Habari wa klabu ya Azam, Jaffar Iddi amefunguka na kukanusha taarifa zinazoendelea mitaani kuwa kipa namna moja wa Azam FC, Aishi Manula amesaini mkataba na klabu ya Simba na kudai kuwa mchezaji huyo bado atabaki Aza… Read More
Lissu aeleza A-Z Jinsi Tulivyopigwa na Tutakavyoendelea Kupigwa Kwenye Sekta ya Madini Mnadhimu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu akizungumza na Muungwana Tv amesema kuwa Sakata la Mchanga wa Dhahabu lina tokana na ubovu wa sheria zetu pamoja na kubanwa na mikataba ya kimataifa.L… Read More
Kesi ya Lissu yakwama kuendelea Kisutu Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu Dar es Salaam. Kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu imeshindwa kuendelea kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisu… Read More
App Pekee Iliyopo Kwenye Simu Anayotumia Rais wa Marekini Donald Trump Watu wengi wanaotaka kununua simu janja/Sikanu (Smartphone), mojawapo ya jambo wanaloangalia pindi wafanyapo uchaguzi wa simu ni ukubwa wa uhifadhi wa ndani (storage).Sababu kubwa ya kufanya hivyo ni kupata wasaa wa kusanid… Read More
0 comments:
Post a Comment