Wednesday, 3 May 2017
Home »
» BREAKING NEWS!!!!
BREAKING NEWS!!!!
Kama wewe ni mtumiaji wa mtandao wa whatsapp na hujui chochote kilichotokea usiku wa kuamkia leo, taaarifa ni kwamba mtandao wa whatsapp ulitoweka hewani ghafla duniani kote majira ya usiku. Mtandao huo ulianza kutoweka hewani katika nchi ya Uingereza na baadae kufuatiwa na Brazil, na baaada ya hapo ilikuwa dunia nzima.
Lakin hadi sasa mtandao huo maarufu duniani wenye watumiaji zaidi ya bilion kumi(10 bil), umesharejea na unafanya kazi vizur.
Hadi sasa bado chanzo cha tatizo hilo hakijajulikana kama ni tatizo la kiufundi au waliamua tu kuuuzima au ulikuwa ni uvamizi wa kimtandao maarufu kama HACKING. Blog hii itaendelea kukupa taaarifa zaidi kuhusu tukio hili.
Related Posts:
Ujumbe wa Diamond Baada ya Ivan kufariki Dunia Kupitia ukurasa wake wa Instagram Diamond Platnumz ameandika ujumbe huu "Mbele yako, Nyuma yetu" Ujumbe huo ni baada ya Aliyekuwa mume wa Zarina Hassan ‘Zari The Bosslady’, Ivan Semwanga kufariki dunia akiwa hospitali nchi… Read More
Mbunifu wa Nembo ya Taifa ahamishiwa Hosptali ya Muhimbili Mzee Francis Ngosha ndiye mchoraji na mbunifu wa nembo ya taifa maarufu kama Bibi na Bwana, S iku mbili zilizopita aliliripotiwa kuwa anaishi maisha ya Magumu huko Buguruni jijini Dar es salaam. Kibanda alichokuwa akiishi… Read More
Nyalandu: Majeruhi wa Lucky Vicent kuruhusiwa Hospotali kesho Hospitali ya Mercy ya Marekani, imebainisha kuwa huenda watoto wawili majeruhi wa ajali ya gari la Shule ya Lucky Vincent wakaruhusiwa kutoka hospitali wakati wowote kuanzia kesho.Mbunge wa Singida Kaskazini, La… Read More
Meri ya kivita ya Marekani imeonakana karibu na visiwa vya Uchina Maafisa wa Marekani wanasema manowari ya wanamaji wa Marekani imetekeleza oparesheni maalum ya 'uhuru wa ubaharia' karibu na visiwa vinavyozozaniwa vya bahari ya kusini mwa china. Oparesheni hiyo karibu na kisiwa kimoja… Read More
Wajumbe wa kamati Iliyomng'oa Muhongo walitishwa RAIS Dk. John Magufuli amebainisha kuwa licha ya kamati ya Kuchunguza Makontena ya Mchanga wenye Madini (makinikia) kupewa ulinzi mkali, kulikuwapo vitisho na hata baadhi ya wajumbe kutaka kuhongwa. Akizungumza jana wak… Read More
Mbona mm nilitumia mda wote bila athar yyt ile
ReplyDelete