Wednesday, 3 May 2017

BREAKING NEWS!!!!




Kama wewe ni mtumiaji wa mtandao wa whatsapp na hujui chochote kilichotokea usiku wa kuamkia leo, taaarifa ni kwamba mtandao wa whatsapp ulitoweka hewani ghafla duniani kote majira ya usiku. Mtandao huo ulianza kutoweka hewani katika nchi ya Uingereza na baadae kufuatiwa na Brazil, na baaada ya hapo ilikuwa dunia nzima.
Lakin hadi sasa mtandao huo maarufu duniani wenye watumiaji zaidi ya bilion kumi(10 bil), umesharejea na unafanya kazi vizur.
Hadi sasa bado chanzo cha tatizo hilo hakijajulikana kama ni tatizo la kiufundi au waliamua tu kuuuzima au ulikuwa ni uvamizi wa kimtandao maarufu kama HACKING. Blog hii itaendelea kukupa taaarifa zaidi kuhusu tukio hili.

Related Posts:

  • Mwanamke ajichinja kwa chupa MWANAMKE aliyefahamika kwa jina la Saada Elias (24) mkazi wa Mtaa wa Mabambase katika Manispaa ya Shinyanga alifariki dunia kwa kujikata koromeo kwa chupa ya soda. Mwanamke huyo alijiua kwa chupa ikiwa ni muda mfupi baa… Read More
  • Wananchi watema cheche, wataka Marais wastaafu wachunguzwe Mikoani. Wananchi katika maeneo mbalimbali nchini wamemshauri Rais John Magufuli kufanya mabadiliko ya Katiba na kuhakikisha diplomasia ya uchumi haivurugiki kutokana na sakata la mchanga wa madini (makinikia).Wakitoa maoni… Read More
  • Korea Kaskazini yamwachilia huru MmarekaniHaki miliki ya pichaREUTERSImage captionWazazi wa Otto Warmbier waliohifia usalama wa mwana wao kufuatia kuongezeka kwa uhsama kati ya Marekani na Korea Kaskazini Korea Kaskazini imemwachilia huru mwanafunzi Mmarekani Otto Wa… Read More
  • Everton kumsajili PickfordHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionKipa wa Sunderland Jordan Pickford Klabu ya soka ya Everton imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Jordan Pickford kutoka klabu ya Sunderland kwa dau pauni milioni 30. Pickford, k… Read More
  • Hawa wote motoni KIMENUKA! RAIS John Magufuli ameagiza kukamatwa na kuhojiwa kwa waliokuwa mawaziri, kamishina wa madini, wanasheria wakuu (AG) na waliokuwa watumishi katika idara mbalimbali za serikali zilizoruhusu usafirishaji wa madini … Read More

1 comment: